
Kwa miaka 13 Mwana FA amekuwa ndani ya GAME ya Hip Hop na amekuwa hawaangushi mashabiki wake kwa kila ngoma anayotoa. Katika kufunga mwaka 2015 Mwana FA ameachia kitu kipya kutoka South Africa chini ya kampuni ya SSP. Ngoma inakwenda kwa jina la Asanteni kwa Kuja (Thanks For Comming).
A line from the song: "ilikuwa poa tuu,ilikuwa love tuu,ilkuwa poa kabla pesa haijaleta makuu....."
Kama kawaida hapa Bongo Video tunakuwezesha...