
Video ya wimbo wa Shetta na Diamond inayokwenda kwa jina la Kerewa imedondoka mtaani siku ya jana. Kwa mujibu wa Shetta video hiyo imegharimu kiasi cha milioni 25 za Kitanzania. Ameyasema hayo jana akiwa katika television ya EATV. Hapa unaweza kupata video hiyo kwa ajili yako.
>>>>>DOWNLOAD VIDEO<<<<<
...